Pole sanaaa fanya umpeleke hospital hakuna namnaa..04:44 mwanangu anaumwa hivi nimekaa hapa nimempakata yeye kasinzia lakini ni wa moto sana hapa kwenye koo nadhan anaumwa kama nilivyoumwa siku za nyuma..
Pole sanaaa fanya umpeleke hospital hakuna namnaa..

jana jioni nilimpeleka akapimwa hajakutwa na ugonjwa wowoteMungu ni Mwema