JamiiForums Usiku wa manane
1:26 am nipo nawanga jamani naona huu ungo wa leo sio mzuri ndugu zangu mniombee nsiiaibike
 
12:08,ndugu zangu nipo hapa naelekea kilingeni kwa kweli mambo leo yapo shwari upepo mwanana ila tu huu mkono wa huyu mtoto ninao tumia kama njia ya mawasiliano naona umeanza kuzingua nataka nipitie hapa Aghakan nichukue mwingine
 
Back
Top Bottom