JamiiForums Usiku wa manane
Amen napokeaa na ikawe hivo maana nilivofulia😀😀 ila nawaza napata from nowhere tu? Mmh😀
Hata Hajiri, alipokuwa jangwani, alikata tamaa ya kuishi na kumuweka mtoto kwenye kijiti, ili amtazame anavyo kufa kwa kukosa maji. Ila Mungu aliyafumbua macho na kuona chemu chemu ya maji jangwani.. Kwa Mungu yote yawezeka.. kwasababu Pesa na dhahabu ni mali ya Bwana, na vitu vyote alivyoumba 😀😀😀
 
Hata Hajiri, alipokuwa jangwani, alikata tamaa ya kuishi na kumuweka mtoto kwenye kijiti, ili amtazame anavyo kufa kwa kukosa maji. Ila Mungu aliyafumbua macho na kuona chemu chemu ya maji jangwani.. Kwa Mungu yote yawezeka.. kwasababu Pesa na dhahabu ni mali ya Bwana, na vitu vyote alivyoumba 😀😀😀
Ngoja tumpime imani financial services
 
Back
Top Bottom