B R A C E L E T
JF-Expert Member
- Nov 11, 2018
- 2,358
- 4,406
🤒
0022
24.02.2021
Tunafungua lindo
Leo ni full shangwe. Huko Chelsea nako ashamchapa mtu 😍
Saa 7 sahii, usali ulaleUsilale basi
Nishasali ila usingizi umepaa
Dah....amka ...kula tangawizi ya kutosha...tafuna kitunguu swaum...limau.....lamba na asali kidogo...isije somwa historia fupi...alizaliwa ...akapata mafua....akakosa usingizi...Mafua yanikosesha usingizi![]()




ongeza doz .Daaa...
Juzi nimekula tangawiz ndio yakazidi..nikapiga na nyungu jana yakapoa leo usiku yamecharuka.
HongeraLeo ni full shangwe. Huko Chelsea nako ashamchapa mtu![]()

Dah....amka ...kula tangawizi ya kutosha...tafuna kitunguu swaum...limau.....lamba na asali kidogo...isije somwa historia fupi...alizaliwa ...akapata mafua....akakosa usingizi...![]()

Hiyo historiaPole, fuata ushauri wa mkuu Rohombaya hapo juuMafua yanikosesha usingizi![]()
Geti la mashariki hapaUpo gadi wapi huko mkuu