JamiiForums Usiku wa manane
Sure mkuu, Mungu hakunyimi vyote, mm huwa nakuwa happy hata nikiwa nmetingwa, sometime unaweza usijue kama nahitaji msaada kwa jinsi navokuwa na furaha. Nikinuna bc ujue cko vzr kiafya.
Yeah mkuu, hii ndo source ya utulivu wa akili yako, furaha za kuletewa sio permanent, ila within us ni milele.
 
Back
Top Bottom