Nilijua upo....unasubiria shambulio....umeona kimya....ukaamua kujitokeza hadharani. KaribuBaby....
Umekuja lindoni bila taarifa wala silaha, likikufika la kukufika na mlinzi wako sipo aware utalaumu?
Kawaida yako, angalia isijekuwa insomnia😊Usingizi umenikimbia
NilikuwepoKawaida yako, angalia isijekuwa insomnia
Missed you
Hahaha you're always protected n feel secured.Nilijua upo....unasubiria shambulio....umeona kimya....ukaamua kujitokeza hadharani. Karibu
Kitambo sana...Hahaha you're always protected n feel secured.
Hujafungua jokof mpaka muda huu?
Asubuhi njema comrade.03:38 Hrs G' nite Comrades
Kwa uwepo wako usingizi hauji, tudumishe ulinzi tu kwa pamoja.Hatulaliii
Ha haa basi wengi tuna matatizo ya iniUkiona unaamka kati ya saa Saba hadi saa tisa usiku jua umeanza kuwa na matatizo ya ini.Ini hufanya kazi peak hours 1-3 a.m~~ Utabibu wa wachina
Oooo kumbeeTatizo limeanzia hapo kwenye kucheki matakataka
Muda bado ngoja tuendelee kulinda0028
Leo nakusaidia kulinda rafiki yangu kipenziMuda bado ngoja tuendelee kulinda
Hahahaha, vzr sogea huku karibuLeo nakusaidia kulinda rafiki yangu kipenzi