zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,855
Kweli kabsaDah,ila inabidi kurefresh japo kidogo, siasa siasa aah
Unaonaje ukiskia music
Kweli kabsaDah,ila inabidi kurefresh japo kidogo, siasa siasa aah
iceberg9 niachie my wangu![]()
Sinaga tabia ya kugombea, nakuachia ila akija kwangu usilalameNashukuru Mungu, naendelea vizuri piaaNipo ndugu, za siku njema hofu kwako ww uliyepotea
😥 😥 nambie huwa unampa nini ili nimpe asikuje kwako tena![]()
![]()
Sinaga tabia ya kugombea, nakuachia ila akija kwangu usilalame
Music ndiyo wenyewe sasa, ni kucheza tuuKweli kabsa
Unaonaje ukiskia music
Funga tumalize mchezoai wewe![]()
OK I Dedicate to you BailaMusic ndiyo wenyewe sasa, ni kucheza tuu



Huwa nampa whitehorse upendo tu![]()
nambie huwa unampa nini ili nimpe asikuje kwako tena
Sikuoni unajua, halafu kuna kijana anakudai? Maana ananidai na mimi kwelisubiri
Mmmh hii Dedication sijaielewa ilifaa iende kwa babe wako, ama waona,am i the right person?OK I Dedicate to you Baila
"Utamu wa big G ni kutafuna usimeze uroda ongeza tu bidii kunikuna na sio kuniroga
Kunikomaza hivi pika nguna ntaileta mboga unipe na kabichi kwetu suna nishushe na soda"![]()
Mamaa!nimechanganya mafailiMmmh hii Dedication sijaielewa ilifaa iende kwa babe wako, ama waona,am i a right person?
Kesi za kubambikiziwa wanaume tuna kazi. Uanaume nao ni shuhuli
Hii ni hatari ni kupeana pressure muda mwengine bora usijue kabisa yaache mambo yalivyo usifuatilie kabisa.Kesi za kubambikiziwa wanaume tuna kazi. Uanaume nao ni shuhuli
Ok, ongeza umakini.Mamaa!nimechanganya mafaili
Nimejitetea tu financial hakuna nilichokoseaOk, ongeza umakini.

Nashika zamu sasa..na kwako pia 4:00am0358 usiku mwema