Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,138
Yap..Yap!!..nikiimba naifeel vibaya mno🤦
Yap..Yap!!..nikiimba naifeel vibaya mno🤦
Hamna nilimuonaga Mdogo wangu mmoja anaimba..nilipenda alivyokuwa anajiachia..nikautafuta wimbo
Kastori fulani hivi imeanzia mbaliiiiiHebu fanya kuimba.... Naisikiliza hapaYap..Yap!!..nikiimba naifeel vibaya mno![]()
😂😂😂😂 Acha kabisa
Kah sema sio mbaya kazi ya ulinzi inataka uwe mpiganajiIkiwezekana
![]()


Imenibidi niweke sasa replyyyyyAcha kabisa
nionesheeee sasa, nimezubaa tu hapa maneno haya yanamsisimuo 



Hii song sasa unaiweka ukiwa unakulana ... Room full candleYap..Yap!!..nikiimba naifeel vibaya mno![]()
, chocolates
, wine, strawberry
unakanyagiaaaa bila brake uku ukisikilizia milio tu Hahahahaha
Mkifunga mnachekelea, mkifungwa mnaanza kufukuza makocha.. Mmezidiwa mchezo.Huyu kocha wa Barca anaweza kurudi Spain kwa daladala hawatamruhusu apande ndege yao
Kama hivi?Hii song sasa unaiweka ukiwa unakulana ... Room full candle, chocolates
, wine, strawberry
unakanyagiaaaa bila brake uku ukisikilizia milio tu
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂Hii song sasa unaiweka ukiwa unakulana ... Room full candle, chocolates
, wine, strawberry
unakanyagiaaaa bila brake uku ukisikilizia milio tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama nakuona vileMkifunga mnachekelea, mkifungwa mnaanza kufukuza makocha.. Mmezidiwa mchezo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha
Ooh beibiii ukinigusa nyan'ganyan'ga mwenzako sijiweziii
Mimi kipofu napapasa juu yakoo..nahisi hakuna amani nisipokuona nyumbani
Moyo unajawa tafuraniii..kwichikwichi chumbaniii haziishi kichwani
Hasa pale ukiwa mbali namii
Chochea kuni kwa kishindo jiko lako ni Mimi
Unipe joto joto penzi kwenye baridiii
Nitan'gan'gana nawe nitabaki nawe sitokuacha mpwekeee
Shika nishikilie usiniache Mimi chunga wasinitekee
Honey Mimi kwako Nazi mbataaa..
Nitafune unavyotaka
Kiuno sindimba chakachaa
Serebuka unavyotaka
Nioneshe niweke tepetepe![]()
AisehhhhhhKama hivi?




kudadeki, umpe baby mama hizo mikanyagio anakuachaje sasaHahahaSent using Jamii Forums mobile app
Hapo wote mnanukia manukatooo kwa mbaliiiiiiii perfume za kwapa na mmevaa vitu night dress
Wacha weeehh..na viharufu fulani hivi vya marashi nini
lainiiiii lainiiii huku upande wapili boxer tu full mvutanooo tu unakula na pingu kabisa ili usifurukutee inapozamaaa pangoniiii


