Babumawe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 2,585
- 2,666
Unaishi wapi kwasasaNdiyo
Unaishi wapi kwasasaNdiyo
DunianiUnaishi wapi kwasasa
Wewe sio sister..i means masista hawawezi toa jibu la namna hiiDuniani
OkeeWewe sio sister..i means masista hawawezi toa jibu la namna hii
Ndoto zingine bana eti nimeshtuka saizi nilikuwa naota baada ya muda mrefu wa kutafuta beki 3 wa kusaidia kazi za nyumbani nimebahatika kumpata mmoja anatokea Ohio Marekani







Ila kiukweli kuna mabint wako too decent ila wapeleke sehemu...chapati tatu zitakunjwa at once na chai ya moto na macho hapepesi.
Unaishi wapi dadaOkee
Kula hakuna kurembaIla kiukweli kuna mabint wako too decent ila wapeleke sehemu...chapati tatu zitakunjwa at once na chai ya moto na macho hapepesi.


MkoaniUnaishi wapi dada
Sasa mkoa gani? Huwezi jua labda nimekupenda shostiMkoani
Oh kumbe!Sasa mkoa gani? Huwezi jua labda nimekupenda shosti
Big siku hizi watu hawatongozi kwa style hii, mwambie dada samahani naomba unitumie account no yako nikuingizie 500 chap kama nauli ili tukutane somewhere tufahamiane zadi basi...haya ya unaishi wapi na nani, unafanya nini waachie polisi na taasisi nyingine za kufanyia watu mahojiano.Unaishi wapi dada