JamiiForums Usiku wa manane
Hapo kwenye kamati ya maadili ndio kuna vichekesho vya hatari! Sisi washabiki ngoja tuvute ukwaju na popcorn tayari kabisa kwa muvi pendwa! Ila tatizo staring anaweza kuamua akabadili script na tukio zima likabarikiwa kwa majina laini laini na maisha yakaendelea! Wajumbeeeee..................
Maamizi yafuate katiba yako na sio maamuzj ya mtu mmoja, huo ni ubakaji wa demokrasia ndani ya chama
 
Hahaha kwanini yule amepewa hadhi ya taifa?
(wacha nicheke mie)
Kwani huna taarifa mjomba, alijipa mwenyewe, yaani hakukuwa na RC wa kukohoa mbele yake, alikuwa kama makamu wa rais kitengo maalum cha kujipendekeza na kusifu! Ila sasa hivi anabembeleza kazi ya ulinzi nahisi atakuwa ameshaonja joto ya kukosa ajira, tupo nae huku kwenye foleni sasa hivi hana escort tena!
 
Kwani huna taarifa mjomba, alijipa mwenyewe, yaani hakukuwa na RC wa kukohoa mbele yake, alikuwa kama makamu wa rais kitengo maalum cha kujipendekeza na kusifu! Ila sasa hivi anabembeleza kazi ya ulinzi nahisi atakuwa ameshaonja joto ya kukosa ajira, tupo nae huku kwenye foleni sasa hivi hana escort tena!
Nimemuona juzi wakati anakabidhi ofisi akajidai kujitingisha kidogo eti alikuwa anamlinda fulani na anaomba kama atapewa tena nafasi ataendelea kudumisha ulinzi kwa hali yake yooote.
Nilicheeeka
 
Ukizoea kutoa vitisho kwa njia ya mtandao unaowatisha nao watakujibu kwa njia hiyo hiyo uliyotumia.
Hivi miezi miwili kuelekea ngome kuu ni mitamu kweli....
 
Back
Top Bottom