JamiiForums Usiku wa manane
Wewe ndio km mm ukweli hilo dude huwa natazama na sielewi

Maana kwngine wanacheza na hela/kamari, kwibgibe sijui wanachezaje

Sent using Jamii Forums mobile app
Mchezo wowote unaohusisha ushindani wa pande mbili kamali haikosekani. Wanacheza kamali mpaka wa pembeni ukiachilia wachezaji wenyewe husika. Wanaita kupandia
Vijana wengi wa Tz wamegeuza fursa ya mchezo wa pool table. Kama unaujia vizuri unaweza ukala mpaka laki tano kwa siku na hapo ni uswahilini, je kwa walionacho huko wadhani unaweza ukaingiza sh ngapi kwa siku?
Usishangae kuona vijana wamekusanyika kwenye viwanja vya pool table, pesa ipo budaa
 
2020-07-14 01.51.23.png
 
Back
Top Bottom