JamiiForums Usiku wa manane
wanafunga ,nahamia kwingine ,huku nakagua lindo
IMG_20200711_231507.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu hivi ilo pooltable linaraha gani mana naliona la kawaida sana, lakni watu wanakua addicted nalo sana sijui kwanini.
Hahaha pool table ni mchezo kama unavyoona michezo mengine. Inahitaji akili, shabaha na maamuzi ya haraka kumshinda opponent wako.
Ni mchezo mzuri sana na ukishaujua lazima unatamani ucheze na ucheze, the more you play it the more you become an expert of it.
 
Back
Top Bottom