Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Pole sana itabidi asubuhi yako umalizie kwa mzungu wa nne.Mzee nimekurupushwa tena wakati nipo napasha viungo moto kwa mtanange wa raundi ya pili
Pole sana itabidi asubuhi yako umalizie kwa mzungu wa nne.Mzee nimekurupushwa tena wakati nipo napasha viungo moto kwa mtanange wa raundi ya pili
Sasa hii kashfa. Ujue mwanamke hasuswi.Pole sana itabidi asubuhi yako umalizie kwa mzungu wa nne.
Wahuni unawaruhusu wakuangalizie mchumba ooh utalia baadaye ww.Malizana naye, mhakikishe mnafunga vema... mniagie kwa yna2
Wahuni unawaruhusu wakuangalizie mchumba ooh utalia baadaye ww.




Unapiga hata dochi mixer kugongesha miamba na kupaisha.Tisha sana kijana![]()
Halafu ukienda job huku nyuma jamaa wa bodaboda anasimamia kama anaendesha baiskeli mlimaniUnapiga hata dochi mixer kugongesha miamba na kupaisha.
Kuna yule alikuwa anamfukuza kifaruAtaka ugomvi huyo unatuma puppyakamuue chui
![]()
Hao tena kwa kutaka sifa atakunywa nachai kabisa alafu na lift ya kwenda sokoni atampatia ukimkuta unamkata mapanga unamuua alafu unamzika kama anavyosema Roma.Halafu ukienda job huku nyuma jamaa wa bodaboda anasimamia kama anaendesha baiskeli mlimani
Hahaaaa. Halafu wanavyojitawala home kwako utafikiri kwake. Ila wauni sio watu wazuri.Hao tena kwa kutaka sifa atakunywa nachai kabisa alafu na lift ya kwenda sokoni atampatia ukimkuta unamkata mapanga unamuua alafu unamzika kama anavyosema Roma.
Ngoja nikutafutie ile picha yake.Atakuwa wa kuchorwa huyo.
Bora upuuzi afanyie nje sio ndani.Hahaaaa. Halafu wanavyojitawala home kwako utafikiri kwake. Ila wauni sio watu wazuri.
Yap ndio tunamalizia hivyo.Muda wa kulifunga LINDO!
kesho nayo siku RUGHT
Alijua embe hiyo


Kwani wana akili? Na hapo anapata msosi na papuchi ya bure kabisa.Bora upuuzi afanyie nje sio ndani.
Huyo mchizi sio kabisa yaaniAlijua embe hiyo![]()
Ndio vinavyo waponza hivyo vya bure.Kwani wana akili? Na hapo anapata msosi na papuchi ya bure kabisa.