JamiiForums Usiku wa manane
We jamaa nikikuonaga pande hizi tu najua upo kwenye mawindo!!! Yaani Kataskopos wewe uache kusherehekea taifa kuingia uchumi wa kati wewe?!

Si bure!!!
Bwahaha! Mimi hapa nasingiziwa tu, leo nimeamka niko na mood ya kusikiliza mziki sana hivyo nikawa naweka mangoma tu. Totoz za JF na mimi wapi na wapi braza ?
 
Back
Top Bottom