Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 42,550
- 105,319

Issa trap beware![]()
Haya bhana
![]()

We endelea tuHakuna kukupigia ngoma kukuambia kuwa umekua
Miyeyusho majukumu, utakuja tukuombe dua.....![]()
Anacheka mwenyewe
ya'already know wat i meanWhat!


Hujalala hadi saivi kisa nini mrembo?Jukwaa murua kabisa la kunitafutia usingizi
Mwamba wa Kaska sio?Wananiita Mr Mstaarabu
Ninachongoja misa na ni sababu
Nishawekeza hisa ya hii dhahabu
Ndoa ndo imani msingi wa dhawabu...![]()
Nilikuwa nawatch movie mkuu baada ya kuwa na siku ndefu yenye stress😅😅Hujalala hadi saivi kisa nini mrembo?
Jiko lipikalo maajabu , enjoy mapishiWananiita Mr Mstaarabu
Ninachongoja misa na ni sababu
Nishawekeza hisa ya hii dhahabu
Ndoa ndo imani msingi wa dhawabu...![]()
Bonge la nyimbo..
Acha kabisa naweza sema hii ni moja ya nyimbo bora kwangu kwa mwaka huu kama nikiambiwa niweke list yanguMwamba wa Kaska sio?
