Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,594
- 13,422
Nipo.
Alamsik!Yes boss mimi nalala,
Hahahaha, SAA hz wanatafuta cha asubuhiWatu wanalala mapema sanaaa
Nafunga lindo na hii nyimbo, mtafakarini ukuu wa Mungu, marafiki wa usiku Rowin Super Villain Depal yna2 Drizzle Goddess Han Solo Jurjani mtu chake orturoo.....
Jack Palladino
Mtoto halali na hela
Kuhani Noah
Muda wa kukabidhi silahakumekuchaa
Quoter Guard, Parade ya kubadili walinzi sasa.Muda wa kukabidhi silaha
Naaam MkuuQuoter Guard, Parade ya kubadili walinzi sasa.
😀😀😀😀.. cha asubuhi huwa namsubiri manzi wangu kasha jiandaa kila kitu na kuvaa kwenda ofisini, ile ananiaga tu, namdaka yaaani 😀😀😀😀😀.. analalamika wee lakini ndio ivyo nae mwenyewe ashazoea yaani kautaratibuHahahaha, SAA hz wanatafuta cha asubuhi
Safi sana, niliwahi kumfanyia hivi siku moja.. cha asubuhi huwa namsubiri manzi wangu kasha jiandaa kila kitu na kuvaa kwenda ofisini, ile ananiaga tu, namdaka yaaani
.. analalamika wee lakini ndio ivyo nae mwenyewe ashazoea yaani kautaratibu
Funga lindoNimerudi kumalizia ungwe yangu.....
Nafungaje wakati ndiyo nimeingia mzigoni ?Funga lindo
Basi weka chai ,chupa iko pale kibandani ,nakuja na mihogo niko kwa mama chege hapaNafungaje wakati ndiyo nimeingia mzigoni ?
Hapa nina al Qasus tu, hatunywi chai siku hizi.Basi weka chai ,chupa iko pale kibandani ,nakuja na mihogo niko kwa mama chege hapa