JamiiForums Usiku wa manane
Ila maisha haya ningekuwa ndio mm nyonge nimeondoka ningesha chimbiwa huko mapema na bulldozer.
Mkuu maisha hayako fair kabisa, wengine wanakufa wanazikwa kama paka,wengine kama hivyo maombolezo siku tatu nchi nzima, bendera nusu mlingoti,na sanamu pia anaweza kujengewa.
Sisi wengine ndio hivyo tena ukifa leo unazikwa kesho,watu wanapiga ubwabwa wanakusahau.
 
Mkuu maisha hayako fair kabisa, wengine wanakufa wanazikwa kama paka,wengine kama hivyo maombolezo siku tatu nchi nzima, bendera nusu mlingoti,na sanamu pia anaweza kujengewa.
Sisi wengine ndio hivyo tena ukifa leo unazikwa kesho,watu wanapiga ubwabwa wanakusahau.
Unaweza kufa kwanja msibani wakapika wali nyama 😆 😆 😆 😆
 
Back
Top Bottom