Mkuu lazima lifungwe. Kama upo around itabidi uzurule njelindo liko wazi hadi Kesho, Leo Tunaosha silaha
Nawe pia, Baraka tele kwako5:25
Dominika njema yenye Baraka tele wapendwa.
😂😂 daahh j2 njemaPunguza nanii bwana
😂😂 sawaTunakujua wewe, ngoma ya watoto haikeshi
Uniombee na mimi tafadhali hata kama umemind😂😂 sawa
Kawa addicted 😀😀😂😂 daahh j2 njema
Nikuombee nini wewe, itakuwa misuse of maombi 😅😅. Bora nikamuombee ndugu yangu wa damu Super VillainUniombee na mimi tafadhali hata kama umemind
Nadhani utashangaa siku nakuja geti la peponi malaika wananiruhusu kuingia halafu umezuiliwa. Hivi utajisikiaje?Nikuombee nini wewe, itakuwa misuse of maombi 😅😅. Bora nikamuombee ndugu yangu wa damu Super Villain
Wala sitashangaa ila ntaandamana yaani hiyo kitu haiwezekani itabidi malaika walinzi watoe taarifa 😀Nadhani utashangaa siku nakuja geti la peponi malaika wananiruhusu kuingia halafu umezuiliwa. Hivi utajisikiaje?
Kumbuka kwa Mungu hakuna maandamano wala kukata rufaa. Ukisikia umesomwa wewe na huyo unayemtete Super Villain kwamba mnakwenda kuwa kuni hakuna mjadala.Wala sitashangaa ila ntaandamana yaani hiyo kitu haiwezekani itabidi malaika walinzi watoe taarifa 😀
Sisi tukienda kwa kuni, wewe utakuwa ushageuzwa kuni yenyewe maana hata ukiwekwa motoni itakuwa ni wastage of space 😅😅Kumbuka kwa Mungu hakuna maandamano wala kukata rufaa. Ukisikia umesomwa wewe na huyo unayemtete Super Villain kwamba mnakwenda kuwa kuni hakuna mjadala.
Ndio utaona maajabu ya Mungu. Wanafiki anawajua na wale tunaomuabudu kikweli kweli anatujua. We jidanganye tu.Sisi tukienda kwa kuni, wewe utakuwa ushageuzwa kuni yenyewe maana hata ukiwekwa motoni itakuwa ni wastage of space 😅😅
Hivi unajua radi ya Mungu ni limitless brother..unaweza pigwa radi kwa kumdhihaki Mungu ujue 😁Ndio utaona maajabu ya Mungu. Wanafiki anawajua na wale tunaomuabudu kikweli kweli anatujua. We jidanganye tu.
Subiri hayo maajabu yakutokee ndio akili itakukaa sawaHivi unajua radi ya Mungu ni limitless brother..unaweza pigwa radi kwa kumdhihaki Mungu ujue 😁
Ahhh wapi 😂😂😂. Af ulale usije pata presha ndogo ndogo kijanaSubiri hayo maajabu yakutokee ndio akili itakukaa sawa
Halafu unanichelewesha ujue. Nilikuwa lindo usiku kucha.Ahhh wapi 😂😂😂. Af ulale usije pata presha ndogo ndogo kijana
Usiku kucha kwa time zone ipi 😂😂😂😂.. saa hii ndo mida na najua ushalala mkuu.Halafu unanichelewesha ujue. Nilikuwa lindo usiku kucha.
Asa mzee si nimekesha usiku kucha kuwalinda ninyi na mali zenu. Ulitaka nisilale mchana bob? 😀😀Usiku kucha kwa time zone ipi 😂😂😂😂.. saa hii ndo mida na najua ushalala mkuu.