Kashaulo
JF-Expert Member
- Jun 14, 2019
- 2,940
- 4,958
Hutaki kuachwa!
Kumbe na wewe upo aiyayayaaa
Hutaki kuachwa!


T-pain ft Wiz Khalifa & Lily Allen - 5 O'clock in the morning![]()
Kwani ulifuata?Umenirejesha maktaba, asante.
Leo mchana wangu utakuwa ni usiku wangu kabisa.Pale mlinzi aionapo alfajiri![]()
Kwani ulifuata?
Kwangu haishagi ladha kabisa.Hiyo ngoma ya T-Pain, good old days.
Kwangu haishagi ladha kabisa.
Ukweli unaoumaNimekuja kuwa kumbusha kuwa leo ni j2, kwa wakristo muende kanisani.
Ukijifanya upo bize sasa hivi usije shangaa na Mungu anakua bize kipindi pale unapomuhitaji

Bill Nass ft Roma - funga getiNakubali

tugawane kidogokidogoSuper Villain njo utoe.muongozo tafadhali