Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Post malone- Better now![]()
Nilijua tu angejua ni nyimbo ganiUnatoa jibu kabla ya kupewa mji, mambo gani haya..!!



Subira mask zako ziko njiani![]()
![]()
mask mi zann w kiaziInabidi tuombe Maxence Melo atuwekee kitufe cha sautiNitaka niiimbe hapa sema uvivu kuandika![]()
Zawad hana huyu anaaashuo tuUnatoa jibu kabla ya kupewa mji, mambo gani haya..!!
Umepatia kabisa yani nitafurahia mnoInabidi tuombe Maxence Melo atuwekee kitufe cha sauti
Muamala mm wannMpuuzi ww unataka muamala sio![]()
Nitakuletea kiporo subiriaMuamala mm wann
Leta msoiii hata chapati za mama ntilie nishibe





Najua kuna watu mnasauti zenu humu sio mchezo.Umepatia kabisa yani nitafurahia mno




Acha watu wapende USA 
Kiwe chamoto mi na msos hatuvungianagiNitakuletea kiporo subiria![]()
Mrs SeanJhané Aiko - P*$$Y Fairy![]()

Iih iihNajua kuna watu mnasauti zenu humu sio mchezo.
saut kama ya kangarooSunflowerPost malone ft 21 savage - Rockstar
Huwa nikisikiliza verse ya 21 lazima nicheke sanaAcha watu wapende USA
![]()
Nnya auHaya nakuweka kwenye pot![]()