JamiiForums Usiku wa manane
Halafu sisi binadamu tuna mambo mengi sana, utajikuta unaanza kwenda nyumbani kwa mpenzi wako kumchunguza, unamkuta na mchepuko unastuka na unafia juu kwa juu😂😂😂😂
Alafu unabaki kujijutia hukohuko ulipo, sasa sijui ni mbinguni ama wapi😂😂😂
 
Joh: 1:32

Kiswahili Injili ya Yohana sura ya kwanza, mstari wa 32
Hongera sana, kumbe huwa unasomaga Neno la Mungu eh. Nilivyokuwa nakuchukulia ndivyo ulivyo, congratulations for being such a beautiful and fearing God woman.
 
Back
Top Bottom