Mohamed_jumanne
JF-Expert Member
- Feb 16, 2020
- 331
- 938
And the holly spirit came in a form of a dove and stayed above Him.
Atakaejua huu magari atapata kitu kizuri leo
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE
Agano jipya kitabu cha Yohane
Which verse?John
Ulimaanishaje?Atakaejua huu magari atapata kitu kizuri leo
Alafu unabaki kujijutia hukohuko ulipo, sasa sijui ni mbinguni ama wapi😂😂😂Halafu sisi binadamu tuna mambo mengi sana, utajikuta unaanza kwenda nyumbani kwa mpenzi wako kumchunguza, unamkuta na mchepuko unastuka na unafia juu kwa juu😂😂😂😂
Joh: 1:32Which verse?
It was supposed to mean "mstari" ila keyboard ikaji outcorrect nakuleta neno magariUlimaanishaje?
Ngoja nihakikishe😉Joh: 1:32
Kiswahili Injili ya Yohana sura ya kwanza, mstari wa 32
Unachat sana kuhusu magariIt was supposed to mean "mstari" ila keyboard ikaji outcorrect nakuleta neno magari
Hata we mwenyewe kumbe hujui?! 😀Ngoja nihakikishe😉
HahahahaHata we mwenyewe kumbe hujui?!![]()
Hongera sana, kumbe huwa unasomaga Neno la Mungu eh. Nilivyokuwa nakuchukulia ndivyo ulivyo, congratulations for being such a beautiful and fearing God woman.Joh: 1:32
Kiswahili Injili ya Yohana sura ya kwanza, mstari wa 32
Najua ili nilitaka kupanua mjadalaHata we mwenyewe kumbe hujui?! 😀
SawaNajua ili nilitaka kupanua mjadala
Ni mpenzi wa magari yaendayo kasi kubwa. Siku moja nitakuja kumiliki BugattiUnachat sana kuhusu magari
Najua ili nilitaka kupanua mjadala
Sawa
Endeleeeni na mjadala,nawafuatiliaHongera sana, kumbe huwa unasomaga Neno la Mungu eh. Nilivyokuwa nakuchukulia ndivyo ulivyo, congratulations for being such a beautiful and fearing God woman.
Blessings 🙏Hongera sana, kumbe huwa unasomaga Neno la Mungu eh. Nilivyokuwa nakuchukulia ndivyo ulivyo, congratulations for being such a beautiful and fearing God woman.
Karibu na wewe mtumishiEndeleeeni na mjadala,nawafuatilia
Bado kdgNafunga lango la kusini.