Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
Karibu tena mkuu, uwe na wakati mwema hati tukapoonana tena.Was nice to be here, until later. Adios
Muda huu huwa unatawaliwa na Lucid dreams. Ni ndoto nzuri zinazoweza kukufanya usishtuke wakati wezi washaingia ndaniIla usingizi wa muda huu huwa mtamu sana, nusu macho nusu ndotoni, sijui hata ikawaje nimeamka.



Wakati hata quarante (40) hujafika, ukikunjwa bado unakunjika kama migebuka
ᵃʳᵉᵉᵐ
![]()



woooiiiiiii

Ukitegemea corona iishe eti ndio ukute wameivaa, utasubir mnoo kiongozCorona ikiisha tu hapo!
ᵃʳᵉᵉᵐ
![]()
... Maana tumeambiwa hii coroonaaa ipo ipo saanaa Kama ukimwiiAyiiiiiYaani wewe ndio bado mbichi kama tembele lilochumwa sahiv, ndio kwanza utomvu unadondoka
ᵃʳᵉᵉᵐ
![]()
😂😂😂😂 nije nikushikie miguu
Ni maneno tu Corona imekuja na itaonfoka IN SHAA ALLAHUkitegemea corona iishe eti ndio ukute wameivaa, utasubir mnoo kiongoz... Maana tumeambiwa hii coroonaaa ipo ipo saanaa Kama ukimwii
Sent using Jamii Forums mobile app

ᵃʳᵉᵉᵐ 
Have a good dayWas nice to be here, until later. Adios
Tuma pichaAyiiiii
Nani kakudanganya?
Nimekauka kama muhogo ulioanikwa week nzima

Mhh! Wewe wasema, alikauka Sara na alipata mtoto wa uzeeniAyiiiii
Nani kakudanganya?
Nimekauka kama muhogo ulioanikwa week nzima















ᵃʳᵉᵉᵐ 
In Shaa ALLAH...Ni maneno tu Corona imekuja na itaonfoka IN SHAA ALLAH
ᵃʳᵉᵉᵐ
![]()


Huu muda kwa kupiga lucid dreams ndo wenyewe aisee...huwa nafurahi sana..Muda huu huwa unatawaliwa na Lucid dreams. Ni ndoto nzuri zinazoweza kukufanya usishtuke wakati wezi washaingia ndani
Sent using Jamii Forums mobile app
Hashtag 🙆
Sasa ukitaka zianze weka simu pembeni then fumba macho alafu anza kulifikiria jambo moja tu baada ya muda zinaanza. They are very fascinating broHuu muda kwa kupiga lucid dreams ndo wenyewe aisee...huwa nafurahi sana..