Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,391
- 59,148
Kwamba nimpendae haadhibiwi..!!!
Nitakuadhibu kwa mahaba tu[emoji8][emoji8]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba nimpendae haadhibiwi..!!!
Karibu tena mkuu, uwe na wakati mwema hati tukapoonana tena.Was nice to be here, until later. Adios
Muda huu huwa unatawaliwa na Lucid dreams. Ni ndoto nzuri zinazoweza kukufanya usishtuke wakati wezi washaingia ndani[emoji23][emoji23][emoji23]Ila usingizi wa muda huu huwa mtamu sana, nusu macho nusu ndotoni, sijui hata ikawaje nimeamka.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] woooiiiiiiiWakati hata quarante (40) hujafika, ukikunjwa bado unakunjika kama migebuka [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
Adhabu ya mpenzi haiumi bali husindikizwa na tabasamu mwananaKwamba nimpendae haadhibiwi..!!!
Nitakuadhibu kwa mahaba tu[emoji8][emoji8]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitegemea corona iishe eti ndio ukute wameivaa, utasubir mnoo kiongoz [emoji23]... Maana tumeambiwa hii coroonaaa ipo ipo saanaa Kama ukimwiiCorona ikiisha tu hapo! [emoji38][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
AyiiiiiYaani wewe ndio bado mbichi kama tembele lilochumwa sahiv, ndio kwanza utomvu unadondoka [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
😂😂😂😂 nije nikushikie miguu
Ni maneno tu Corona imekuja na itaonfoka IN SHAA ALLAH [emoji120]Ukitegemea corona iishe eti ndio ukute wameivaa, utasubir mnoo kiongoz [emoji23]... Maana tumeambiwa hii coroonaaa ipo ipo saanaa Kama ukimwii
Sent using Jamii Forums mobile app
Have a good dayWas nice to be here, until later. Adios
Tuma picha[emoji6]Ayiiiii
Nani kakudanganya?
Nimekauka kama muhogo ulioanikwa week nzima
Mhh! Wewe wasema, alikauka Sara na alipata mtoto wa uzeeni [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]Ayiiiii
Nani kakudanganya?
Nimekauka kama muhogo ulioanikwa week nzima
In Shaa ALLAH...[emoji120][emoji120]Ni maneno tu Corona imekuja na itaonfoka IN SHAA ALLAH [emoji120]
[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
Huu muda kwa kupiga lucid dreams ndo wenyewe aisee...huwa nafurahi sana..Muda huu huwa unatawaliwa na Lucid dreams. Ni ndoto nzuri zinazoweza kukufanya usishtuke wakati wezi washaingia ndani[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hashtag 🙆
Sasa ukitaka zianze weka simu pembeni then fumba macho alafu anza kulifikiria jambo moja tu baada ya muda zinaanza. They are very fascinating broHuu muda kwa kupiga lucid dreams ndo wenyewe aisee...huwa nafurahi sana..