Mohamed_jumanne
JF-Expert Member
- Feb 16, 2020
- 331
- 938
Ndiyo mzee baba..😀😀Mzee ni ww huyu kwenye graphics 🔥🔥🔥
Kivipi koloba?


ᵃʳᵉᵉᵐ 
Ukisunibiri mwalimu utachelewa mzee...hiyo unadunda nayo kigumu tu..😀😀Napenda sana kujifunza hiii program,ila bado kupata mwalimu
Huyo ndio atakuja na kifaru kabisaa,,Na mimi naomba nikabidhi lindo kabla boss wangu Depal hajaaka

I wish ungekua hapa karibu mkuu tufanye yetuMuda wa morning Glory 😋😋
Wakubwa mmenielewa
Maana yake ongea, kilingala hicho
ᵃʳᵉᵉᵐ 
🙌🙌🙌🙌
Hahahaha,, ngoja cc watoto tukae kandoMuda wa morning Glory
Wakubwa mmenielewa
Eti
Ukilala unaota ma damu damu tu 😀😀Red mzee 😂😂😂. Chumba kitakuwaje mzee maana kila rangi ina saikolojia flani nyuma yake .usije ingia room unapata feelings za kuua ua tu
Watoto tuamke tuloweke nguoMuda wa morning Glory 😋😋
Wakubwa mmenielewa