Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
mihogo & Gimbi usifananishe na upuuzi ujue.Bora coconut hua nawaza cassava na gimbi sijui nn

Ww unataka kufananisha mizizi na nnmihogo & Gimbi usifananishe na upuuzi ujue.

Mihogo na gimbi si futari hiyo ukiweka na ile nn kwenye kikombe siunashiba ww? Alafu unataka kufananisha na hiyo naziWw unataka kufananisha mizizi na nn![]()


We mlinzi leo nitakuja lindoni pako kama hayawani muandamizi!Ww unataka kufananisha mizizi na nn![]()
Tuache huu ubishani nakujua vizuri ukawi wwKama tunakulaga wote vile bora cassava zile gimbi zinaharufu kama nn sijui![]()

Hivi sasa ni 1:57 please subirini mda ufike ndio muanze kuchangia
Sent using Jamii Forums mobile app


muda gani huo huo unaosema ww tusubirie ilituanze kuchangia.
Gud niaje babu?Habari za kipindi kilichopita walinzi wenzangu.
Wanna die?! Utakula kipigo kitakatifuWe mlinzi leo nitakuja lindoni pako kama hayawani muandamizi!
Ila nitaiba kinacholinda sio kinacholindwa![]()
Leo unakunywa au umelalaHabari za kipindi kilichopita walinzi wenzangu.
Kama tunakulaga wote vile bora cassava zile gimbi zinaharufu kama nn sijuiMihogo na gimbi si futari hiyo ukiweka na ile nn kwenye kikombe siunashiba ww? Alafu unataka kufananisha na hiyo nazi![]()