JamiiForums Usiku wa manane

Tuvumiliane tu mkuu maana kuna mambo mengi; stress, mwezi mchanga, akili kupwa na kujaa nk nk. Ila tunajitahidi kadri tuwezavyo kuwa watu wazuri.

Umenikumbusha kitu, fanya kama tupo jukwaa lile... ni nini uhusiano wa matatizo ya akili na mwezi.?

Utasikia mwezi mchanga sijui mwezi mpevu, akili kama zinakuja mara zinakataa..!!
 
Umenikumbusha kitu, fanya kama tupo jukwaa lile... ni nini uhusiano wa matatizo ya akili na mwezi.?

Utasikia mwezi mchanga sijui mwezi mpevu, akili kama zinakuja mara zinakataa..!!
😂 😂 😂 😂 😂 😂
Huu ndo ubaya wa huu uzi, unapanga kulala ila unajikuta umelinda full time.
Hii imethibitishwa kisaansi kabisa japo sina kumbukumbu nzuri ila kuna uhusiano kati ya positionya mwezi na tabia ya mtu.
Wanadai kuwa mwez ukiwa sehemu fulani kuna kani fulani ya uvutano inayofanya maji kusukumwa sehemu fulani (kupwa ama kujaa). Wanadai nguvu hii huathiri pia haa majimaji yaliyopo kwenye ubongo kwa kufanya yasogee upande fulani, hali hii huathiri uendaji wa kawaida wa ubongo na kumfanya mtu awe na tabia fulani zisizo za kawaida.
Japo sina kumbukumbu nzuri ila nadhani hio ndiyo general idea kama niakuwa sijakosea.
 
Back
Top Bottom