Dah...ziko sababu kadha wa kadha..za kitaalaam...
1. Mbwa wanauwezo wa kusikia sauti ndogo sana kuliko binadamu ...hivyo kwa sababu kazi yao ni ulinzi ndiyo maana hubweka kila wasikiapo hizo sauti ambazo wewe husikii...
2. Hubweka pia waonapo viumbe wengine...paka...mjusi...panya hata mende..
3. Hujiona wapweke wakiwa nje peke yao...hivyo hubweka ili kupata attention ya binadamu...
4. Huwa wanakuwa bored hivyo hubweka kujifurahisha...
5. Huwa wanapiga stori na mbwa wengine walio mbali...hii hubweka kwa mtindo tofauti wa kimajibizano..
6. [emoji2960]
Sent using
Beretta ARX160