JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Ambao hamjalala naombeni nieaulize swali

KWANN MBWA WANALIA SANA USIKU
Yani ni makelele
Inategemea na mbwa wanalia mlio wa aina gani.
Chunguza.. kuna sometimes wanabweka as wakiona kitu ambacho si sahihi mahala hapo so wanabweka ili kuvuta/ kumshtua binadamu aliyekaribu ajue kinachoendelea.
Pia mbwa hunung'unika pale anapoona viumbe vya kiroho kama majini. Hii Mara nyingi kutokea kila azana Ikiwa inaendelea. Chunguza kipindi hiki cha ramadhani
 
Haya vijana wangu nimewakumbuka kwa Neno hili pia

Zaburi 71:17Psalms 71:17
Ee Mungu, umenifundisha tokea ujana wangu; Nimekuwa nikitangaza miujiza yako hata leo.
Zaburi 71:18Psalms 71:18
Na hata nikiwa ni mzee mwenye mvi, Ee Mungu, usiniache. Hata niwaeleze watu wa kizazi hiki nguvu zako, Na kila atakayekuja uweza wako.
Zaburi 71:19Psalms 71:19
Na haki yako, Ee Mungu, Imefika juu sana. Wewe uliyefanya mambo makuu; Ee Mungu, ni nani aliye kama Wewe?
Zaburi 71:20Psalms 71:20
Wewe, uliyetuonyesha mateso mengi, mabaya, Utatuhuisha tena. Utatupandisha juu tena Tokea pande za chini ya nchi.
 
Haya vijana wangu nimewakumbuka kwa Neno hili pia

Zaburi 71:17Psalms 71:17
Ee Mungu, umenifundisha tokea ujana wangu; Nimekuwa nikitangaza miujiza yako hata leo.
Zaburi 71:18Psalms 71:18
Na hata nikiwa ni mzee mwenye mvi, Ee Mungu, usiniache. Hata niwaeleze watu wa kizazi hiki nguvu zako, Na kila atakayekuja uweza wako.
Zaburi 71:19Psalms 71:19
Na haki yako, Ee Mungu, Imefika juu sana. Wewe uliyefanya mambo makuu; Ee Mungu, ni nani aliye kama Wewe?
Zaburi 71:20Psalms 71:20
Wewe, uliyetuonyesha mateso mengi, mabaya, Utatuhuisha tena. Utatupandisha juu tena Tokea pande za chini ya nchi.
Asante kwa Neno na liishi ndani yetu
 
Jason derulo ft Nick minaj....Goodbye 🎶🎶

Karibuni tuburudike.
Jason x David ft Nick Minaj 💫


Ooh it's three in the morning
When you want some you phone me
One word in Español, babe
And I come and you know
Girls in Haiti they throw it
In Jamaica they roll it
Girls in Spain do the mostest
But only you got my focus 😉
Girl, I'm down for your lovin'
Down for my fatty, fatty
Down for your lovin'
 
Stay with me 'cause
It's time to say goodbye
But don't leave me alone, just stay for the night
I need you, I need you tonight
Baby, you know that it's time to say goodbye
But don't leave me alone, just stay for the night
I need you, I need you tonight 🌷
 
Back
Top Bottom