fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,876
- 24,484
Inategemea na mbwa wanalia mlio wa aina gani.Ambao hamjalala naombeni nieaulize swali
KWANN MBWA WANALIA SANA USIKU
Yani ni makelele
Chunguza.. kuna sometimes wanabweka as wakiona kitu ambacho si sahihi mahala hapo so wanabweka ili kuvuta/ kumshtua binadamu aliyekaribu ajue kinachoendelea.
Pia mbwa hunung'unika pale anapoona viumbe vya kiroho kama majini. Hii Mara nyingi kutokea kila azana Ikiwa inaendelea. Chunguza kipindi hiki cha ramadhani