Mohamed_jumanne
JF-Expert Member
- Feb 16, 2020
- 331
- 938
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Huyu mlinzi inabidi anyang'anywe bunduki haraka hwa hawachelewi kujilipua hawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Huyu mlinzi inabidi anyang'anywe bunduki haraka hwa hawachelewi kujilipua hawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwani daku unakula saa ngapi??
Jitu linawaza kula dah dini hizi hi Ni funga ya aibuMkuu, daku muda sio mrefu nafinyaa! Kuhusu PM wew kumbe ni mzoefu wa kusumbua wadada , hahahaha
Kwenda mara moja moja sio dhambi mkuu wala usiwe muoga huo ndo uanaume sema sio kwenda kujitutumua ukiongea nao logic a facts za msingi wala hamuwezi kupishana ila ukianza sijui nina lori 7 za mafuta n.k basi kitakachofuata ni mambo mengine.Mkuu, daku muda sio mrefu nafinyaa! Kuhusu PM wew kumbe ni mzoefu wa kusumbua wadada , hahahaha
Sasa ww nae umekosea njia au??Jitu linawaza kula dah dini hizi hi Ni funga ya aibu
Uko sahihi...Naona Lindo liko wazi
The only thing to fear is fear itself
Mkuu hapa utagusa imani za watu wakujie juu😀😀Mtu Ana ahirisha kula mchana ili ale usiku
Dah...ziko sababu kadha wa kadha..za kitaalaam...Ambao hamjalala naombeni nieaulize swali
KWANN MBWA WANALIA SANA USIKU
Yani ni makelele
Dah...Kama siyo Ke Basi ni Me [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ebu dream naweza kua ipi kati ya hizo
Dah...hiyo milio ya ajabu huwa wanapiga stori tu [emoji1787][emoji1787]Huenda ni hivyo
Sema hata wa magetini wanabweka ila sio ile milio ya ajabu nayoisikiaga
Nmewahi kuhisi ni fisi[emoji38]