JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Kuwachanganya watoto tu na kuwabebesha daftari nyingi tu.
Na kweli kuna watoto huwa wanabeba mabegi mazito balaa yaani hadi ukilijaribu unakiri kuwa huu mzigo ni mzito kwa mtoto yaani hadi ukimuona njiani mabega yanaenda upande..

Ila kiukweli Tanzania tuna wanajeshi wengi sana mtaani maana naonaga wajeda ndio hubeba mabegi mazito hasa wakiwepo Depo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom