JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Naombeni tusihamie PM walinzi [emoji38][emoji38],, maana ya Me au Ke soon tutapotezanaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahaha hapana mkuu nimeingiwa na maswali juu ya mlinzi wangu mmoja hapa ss nikaona km anapenda km Hiphop dizain flani ila nikawa nahisi km ni Ke sasa bora nijue nisije kuendelea kumchukulia jinsia isiyo sahihi..

Asume mtu akikupa jinsia ya Ke lazima usikie ukakasi flani hv.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom