Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,060
Upo usalama mzee wangu.
Upo usalama mzee wangu.
Usingizi hauji
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Unachofanya sio poa lakini.[emoji38] si unaona ni mambo ya hali ya chini
Nakuoa task budda tulia kiduchu
Hamna ww si unazingua sa mie nikifanze jaje[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Unachofanya sio poa lakini.
Ah ss hiyo shida mi nakusaidiaje wmt unaona sote tupo kwenye hali hii ngumu ya kukesha???[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Usingizi hauji
Hivyo hivyo zigzag tu muhimu uzima.
Karibu tea thenAh ss hiyo shida mi nakusaidiaje wmt unaona sote tupo kwenye hali hii ngumu ya kukesha???[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nikuambia nikusaidie hapa nitakupiga kamba yaani kwa hili pambana tu na hali yako mi nitakudanganya maana mi mwenyewe hapa jicho jeupeeee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbee....bas tuendelee kupambana bila kusahau kunawa mikono kwa maji tiririka na kupaka sanitizerHivyo hivyo zigzag tu muhimu uzima.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanajf niko lindo nakomaa na mafenesi na mapapai mkuu tumemnukuu vibaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Unayafanya nn hayoWanajf niko lindo nakomaa na mafenesi na mapapai mkuu tumemnukuu vibaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Maji baridi au motoJua linawakaa balaa,, daah!
Wazma humu ndan? Naombeni maji ya kunywa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo sawa twende kazi.Karibu tea then
Cheers!
Mbwa huwa wanaonaga vitu vibaya sana usiku mfano mbwa anaona wachawi nk.. Ndio maana huwa anabweka sana usiku.Ambao hamjalala naombeni nieaulize swali
KWANN MBWA WANALIA SANA USIKU
Yani ni makelele
Itakua mbwa koko hao,maana mbwa wenye mafunzo huwa hawapigi kelele hovyo pasi na sababuAmbao hamjalala naombeni nieaulize swali
KWANN MBWA WANALIA SANA USIKU
Yani ni makelele
Mbwa kwa kusikia ni kuwa wana uwezo mkubwa sana wa kuwaona wachawi usiku hivyo ukiona wanabweka sana basi ujue wazee wa kazi wamekatisha anga hizoAmbao hamjalala naombeni nieaulize swali
KWANN MBWA WANALIA SANA USIKU
Yani ni makelele