Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
Ndugu yangu, hiyo itakuwa ni sawa na kusubiri embe chini ya mwarobaini..........katu hakutakuwa na mrejeshoNgoja tusubiri mpokea salamu kama ataleta mrejesho kama kazipata salamu
Ndugu yangu, hiyo itakuwa ni sawa na kusubiri embe chini ya mwarobaini..........katu hakutakuwa na mrejeshoNgoja tusubiri mpokea salamu kama ataleta mrejesho kama kazipata salamu
Nilikumiss mno best,ndo maana nakwambia toroka uje hapa chako n' chako, utapona kabisa![]()
![]()
![]()
Sasa umeonyesha ni jinsi gani ulizuga kunimis, boarding sio pazuri ujue![]()
Hahaha ujue nilivyofungua Uzi nikakuona nilipona kabisa, sema baada ya kuona kuna mtu unamwona kwenye glass nikarudi kule kuleNilikumiss mno best,ndo maana nakwambia toroka uje hapa chako n' chako, utapona kabisa

Utakuwa hulali mchana wewe,ndoto za mchana ni za kweli tupu........😉😉😉😉Hahaha ujue nilivyofungua Uzi nikakuona nilipona kabisa, sema baada ya kuona kuna mtu unamwona kwenye glass nikarudi kule kule
Ila saivi angalau umenifariji kwa kuniota mchana (sijawahi kuona ndoto ya kweli mchana)![]()
Salama kabisa bundi ArleN:Wasalaam mabundi wote humu!
Bundi wewe ulipotelea wapi? au na wewe ulikuwa unatafuta watoto?Wasalaam mabundi wote humu!
Hao majirani ni waarabu wa pemba,wanajuana kwa vilemba
Hahaha unanidanganya kwakweli, mbona nimeota wiki nzima ntakua head prefect wa Mirembe mpaka Leo sijawaUtakuwa hulali mchana wewe,ndoto za mchana ni za kweli tupu........😉😉😉😉

Tupo Bundi mkuu, usituangushe kwenye kufunga geti Leo.![]()
![]()
bado mupo?!!
Hahaha wahenga wako huenda wakawa sahihiHao majirani ni waarabu wa pemba,wanajuana kwa vilemba

Haswaaa leta manenoHahahah! Bila shaka ulikuwa kitandani..........ukiwa fofofo 😉😉
Mimi iko salama kabisa
Kuna bundi nilisikia alijeruhiwa na manati, alienda kulilia karibu na dirisha la binaadamu sijui atakua ndo yeyeBundi wewe ulipotelea wapi? au na wewe ulikuwa unatafuta watoto?

Tatizo sio ndoto bali ni sehemu uliyootea, tangu lini ndoto za Mirembe zikatimia?🙂🙂🙂Hahaha unanidanganya kwakweli, mbona nimeota wiki nzima ntakua head prefect wa Mirembe mpaka Leo sijawa![]()
Nafurahi kukuona muda huu,mahali hapaHaswaaa leta maneno
Hivi tafsiri kwa kiswahili inakubali kweliLindo haliwezi kuwa jema bila uwepo wako...........
Rest In Peace.............. namaanisha lala kwa amani
