Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Siwezi kubaki humu saizUpambane tu na zamu yako..nalala muda si mrefu
Siwezi kubaki humu saizUpambane tu na zamu yako..nalala muda si mrefu
Hahaha, huku nitakuwa nakuja kusalimia siku za sikukuu na holidays.
Na kuchungulia kama makoloni yangu yako salama.


Una makoloni tena.Naona kuku kakulevya..haya kalaleSiwezi kubaki humu saiz
Karibu sana mchimbaji.Ndio naripoti lindoni 01:49Am
Thubutuuu ulivyo mchoyo ivyoNilikuachia vile nilivyokuambia
Kabisa ndio muda sahihi huu.Wapendwa katika jina la yesu ni wakati wakufanya ibada na kupiga goti
Ameen..ukimaliza kusali Rudi kwa wifi kitandaniWapendwa katika jina la yesu ni wakati wakufanya ibada na kupiga goti
Thubutuuu ulivyo mchoyo ivyo



Huwezi kula sawa na mwenye mali subira ofa pale B.....Una makoloni tena.
Mchoyo utamjua tu..Huwezi kula sawa na mwenye mali subira ofa pale B.....
Hiyo ni lugha ya kazi mkuu.
Ukifikia umri huu utaielewa.




Haya mzee wanguSaa nane kamili hadi na robo unarudi lindoni
😀😀😀mm huyo leo unaniambia mchoyo
![]()
Mgonga kengele ni ww mwenyewe au??Saa nane kamili hadi na robo unarudi lindoni