Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Hii hapa View attachment 1432911
Hii hapa View attachment 1432911



Kwann uniamini sasa wakati nimekupa yangu hiyo.Ndio tumemalizana hapo labda kama utapost nyingine ya kwako siku za mbeleni huko najua utanitag


Ukulala1:35

Nisingelala si ungeniona nazurura humu naweweUkulala![]()
We mzee bado unahitajika ujue humu usitukimbie bhana.Wapendwa katika bwana, natangaza rasmi kustaafu kwenye hili jukwaa.
Uzee umeninyemelea kiasi kwamba nashindwa kuendana na kasi ya kazi hii ya ulinzi.
Muwe na wakati mwema na mzingatie maadili.
Leo utakuwa ndiyo usiku wangu wa mwisho kwenye hii thread.
Unaweza ukawa upo humu lakini umejificha mahali.Nisingelala si ungeniona nazurura humu nawewe
We mzee bado unahitajika ujue humu usitukimbie bhana.
HayaNisingelala si ungeniona nazurura humu nawewe
Basi utapokea zamu yangu mm naenda kula saa 8 hapo.Haya
Fikiria tena mzee hayo maamuzi.Nitakuwepo kwa kutia likes, ila kazi ya ulinzi nimeachana nayo kwa maslahi mapana ya kitaifa.
Upambane tu na zamu yako..nalala muda si mrefuBasi utapokea zamu yangu mm naenda kula saa 8 hapo.
Fikiria tena mzee hayo maamuzi.