Goddess
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 7,397
- 25,836
Hahahahaha nitakuzingua ujueUchafu huo mabonde kuinama.
Hahahahaha nitakuzingua ujueUchafu huo mabonde kuinama.
Ww mabasi ya moro nayajua yoote yanapita hapo mpaka ya swazilandhuyu anajua vikosta vya kihonda na nanenane tu
Shabiki mmoja baada kutoka uwanjani alipanick during interviewHivi wananchi hilo jina la utopolo wamelipataje?
We miyeyusho ujue
Tupo mkesha wa Pasaka mzee.
Shabiki mmoja baada kutoka uwanjani alipanick during interview
Akasema hii ni yanga au utopolo
Kufa kabisaSindio ww unavyotaka hivyo.
ukinuna haisaidiiiNdo kama hicho bwanaOoh, basi nimekuwa nikiliona humu hilo jina bila kuelewa chanzo chake.
Ndo kama hicho bwana

Ww ushaslim au bdoUnataka ni mtu asilimu ww?
nyau wwShabiki mmoja baada kutoka uwanjani alipanick during interview
Akasema hii ni yanga au utopolo


Kashakuwa star mwana utopolo unajua maana yake?Unataka ni mtu asilimu ww?
Jiandae kutupokea tutashukia hapo cate hotelasee hadi nimepamiss home ghafla...
Aah ndio umeridhika hapoKufa kabisaukinuna haisaidiii
unavyo nifanyia.Mm yanga ila sio damu nikaushieKashakuwa star mwana utopolo unajua maana yake?
