simiss
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 2,100
- 6,170
Happy Easter Kwa Team Hii.
Same to you dony
Happy Easter Kwa Team Hii.
Chef anazngua alitakiwa awe anatupikia mapochopocho tukeshe


Acha nikaushe tu.Na kwako pia mwananchi.Happy Easter Kwa Team Hii.
Ww huyu hata lift ya guta hakupi usimuwaziehahaa mr villa ataninyima zile sponsorship tatizo


kesho tutandandia nae BM la moro ile saa4Alafu nikupeleke Kilombero hukoWw huyu hata lift ya guta hakupi usimuwaziekesho tutandandia nae BM la moro ile saa4

Na kwako pia mwananchi.
Kulima mpunga muhimu ujueAlafu nikupeleke Kilombero huko![]()

au ww unataka ukahangaike na sukariIkiwezekana itakuwa poa.ww unatakiwa uwe na mzigo wa vimiminika
Utopolo hoyeMimi ni mshabiki wa Simba, siyo mwananchi
Ww huyu hata lift ya guta hakupi usimuwaziekesho tutandandia nae BM la moro ile saa4
Ikiwezekana itakuwa poa.


kama nakuona ulivyovimbiaha uso wakoKagereeeeee wallah nimemiss hizi keleleMimi ni mshabiki wa Simba, siyo mwananchi

Ww mabasi ya moro nayajua yoote yanapita hapo mpaka ya swazilandkashakufundisha na mabus ya moro ... naamini mambo mazuri yanakaribia.. kwenye kipunga msinisahau



huyu anajua vikosta vya kihonda na nanenane tuMchele ndio kila kitu ukitaka kujua umuhimu wake subira baadaye hapo.Kulima mpunga muhimu ujueau ww unataka ukahangaike na sukari
Utopolo hoye
kashakufundisha na mabus ya moro ... naamini mambo mazuri yanakaribia.. kwenye kipunga msinisahau



Unataka ni mtu asilimu ww?