Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
Hata ww nimekumiss
Asanteee....mzima wewe?
Njema kabisa
Hamu ya chakula ipo basi?Unakula lkn au umejifungia tu mradi upo ndani![]()
Mvua zmeisha
Yaani sasa hivi inanifanya kunyesha unaweza sema sitini after 5 mins imeishaMvua zmeisha
Yaani sasa hivi inanifanya kunyesha unaweza sema sitini after 5 mins imeisha
Tuhamie mikoa kama iringa au mbeya hivi


inanyesha mvua heavy halafu dk chache maji ni mengiinanyesha mvua heavy halafu dk chache maji ni mengi
Huenda ndo muda wa masikaNgoja tuone kama ndo msimu unaendelea au la
Yah sure thingHuenda ndo muda wa masika