JamiiForums Usiku wa manane
POpoooooooooooooooooooZ!! KWEMA HUMU JAMANI,KWA KWELI SIPO HUMU KITAMBO SANA....ILA TUPO PAMOJA SANA. MISS U ALL NASHUKURU HUMU ULINZI UMEIMARIKA MARA DUFU HASA HUKO KWENYE MIPAKA YETU,UTAFITI UMEONESHA KUWA MPAKA SASA HAKUNA MWANA J.F MWENYE CORONA HII INAHITAJI KUJIPONGEZA MAANA SISI NDIO WALINZI WA HILI JUKWAA.....J.f usiku wa manane Viva Forever!
 
Mimi nasikiriziaga Radio Safina Arusha online. Hivi Dude wewe hujachuniwaga na yule Msukuma JF Slayqueen kweri?
Nipo lindo hapa nasikiliza maombi.Maisha haya bila Mungu ni sawa na ugali bila mboga.


"My pain may be the reason for somebody's laugh,but my laugh must never be the reason for somebody's pain"

Charlie Chaplin
 
Back
Top Bottom