Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Kama alivyosema simiss wewe inawezekana hata Moro hupajua ila unatupanga tu. Nitajie wewe Kihonda kama unaijuaHupajui kihonda ww
Ahh staki kusimamisha traffic kwa kuangalia fito zangu mzee... bora nisikuje




Kama unamuamini, mwambie atuwekee hapa formula ya kutengeneza hand sanitizer. Akiweka hapa nitasaidiki maneno yako
Msavu,Kama alivyosema simiss wewe inawezekana hata Moro hupajua ila unatupanga tu. Nitajie wewe Kihonda kama unaijua
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahhh wapi..sisi ndo tumekutana na mtiti wako so tunakuelewa
Ndugu yoyote hatengwi, tutafanya namna awe pamoja nasiBasi lazima tukutenge ww.
Kama unamuamini, mwambie atuwekee hapa formula ya kutengeneza hand sanitizer. Akiweka hapa nitasaidiki maneno yako
Sent using Jamii Forums mobile app


Kama umuamini basi lakini yy kasema ukweli kuwa mm sio mzee wa fix.Kumbe anakujua toka 2015 enzi unakula bata Nashera wakati huo hata Mo Town haijaanzaUsiwasikilize hao ujueni watu wachonganishi?
Ahhh wapi..sisi ndo tumekutana na mtiti wako so tunakuelewa



Kwahiyo nimempanga.Tutakupeleka viwanja vya wastaarabu kule juu B&W kama vpWahuni unawajua ww?
Haiwezekani huyu kuja kabisa

Utapiga jeans kama kawaidaAhh staki kusimamisha traffic kwa kuangalia fito zangu mzee... bora nisikuje
Huna pa kushikia mzee babaAmna huu ndio ushahidi niliobakia nao sasa![]()
MO town imeanza lini kwaniKumbe anakujua toka 2015 enzi unakula bata Nashera wakati huo hata Mo Town haijaanza
Sent using Jamii Forums mobile app

Hizo ndo mambo .unavaa kuendana na mwili sio kila fashion
Atapiga kipensi huyo.