Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Nazingua ila honestly kwetu ukiamkia watu awapendi tu tunasalimiana kawaida tu basi.Kumbe wenzangu mko majuu tu..
Nazingua ila honestly kwetu ukiamkia watu awapendi tu tunasalimiana kawaida tu basi.Kumbe wenzangu mko majuu tu..
Sever imezidiwa hivyo.
Hii ni avatar yangu pia, ila nmebadiri kwa sasa, nadhan JF bado hawajaupdateImekuaje hapa.....
Naona Avatar 2 tofauti kwako?View attachment 1307837
Pole sana
Nguvu iliyotumia kujitetea nimeisikia hadi hukuNazingua ila honestly kwetu ukiamkia watu awapendi tu tunasalimiana kawaida tu basi.
Hahaha nmekusoma sasa... wewe mzee bhanaMchumba mmoja hv.
Google kampuni kubwa thamani yake ni 103B USD
Kumbe wenzangu mko majuu tu..
Zilikuwa za tape.Baba alikua anazisikiliza mwishoni mwa miaka ya 90.. ndio nilipoijulia
Nakupa ofa uwe unanipigia simu niwe nakuamkiaNa machini pia tupo
Nakupa ofa uwe unanipigia simu niwe nakuamkia
Oohhhh
Naam taoe tupu hapo imengia wimbo unaitwa Maombi by MaleboZilikuwa za tape.
Hata kwako iko hivyo.Data zinachanganyana tu humo ndio maana mauza uza yanatokea.
Kwani ujaona yangu imebadilishwa lakini inaonekana ya dec 17 huko.Hii ni avatar yangu pia, ila nmebadiri kwa sasa, nadhan JF bado hawajaupdate
Hahaha nmekusoma sasa... wewe mzee bhana


wanawake wanapewa za kiume wanaume wanapewa za kike.Kwani ujaona yangu imebadilishwa lakini inaonekana ya dec 17 huko.