JamiiForums Usiku wa manane
Mkate ambao hua mlaini sana ukishaufungua hauchukui siku2 unaweka ukungu

Ss kama unaishi mwenuewe na umenunua mkate mkubwa ni vyema ukae kwa fridge utamaliza hata week3 upo salama

Ukiutoa tu nje dk3 unakua umepoa
Yeah, mkate nimezoea tunaweka kwenye fridge pia.

Mayai niliuliza bcoz kuna ambao wanashangaa ukiyaweka kwenye fridge
 
Back
Top Bottom