Kulala sio lazima.Sijakata usingizi ila sijalala kabisa bado
Nlikua naangalia series
Ss em ngoja nilale
Jitahidini mlale jmn
Upo lindoni?
Ah wapi kula ndo sio lazmaKulala sio lazima.
Usipokula usiku utakula mchana sio ?Ah wapi kula ndo sio lazma
usipolala usiku utalala mchana
Itafika mda itakua involuntary
NdioUsipokula usiku utakula mchana sio ?
Kwahiyo kula ni lazima sio kama ilivyo kulala ?!Ndio
Leo ndo naingia lindoUpo lindoni?
Nafunga lindo,ulikuwa wapi mpaka unapishana na muda wa kazi ? Huipendi kazi yako sio ?Leo ndo naingia lindo
Kulala ndo lazmaKwahiyo kula ni lazima sio kama ilivyo kulala ?!
Sawa mrembo nimekuelewa.Kulala ndo lazma
U can be fine mda mrefu bila chakula ila sio usingizi