JamiiForums Usiku wa manane
Walinzi mpoo

Sijui kwa nini tunakinzana
Akati najua tunapendana
Hatua zetu zinapishana
Kwenye safari yetu ya mapenzi

Si ulisema mwenyewe nisipige simu wala kutuma meseji
Na ukasema kwamba hupendi kuniona unaweza tokwa machozi
Tukigombana tunaelewana mwisho tunapuuzia
Hili limekaa haifai kunyamaziwa
Tukigombana tunaelewana mwisho tunapuuzia
Hili limekaa haifai kunyamaziwa
 
08:12,Nichomoe betri?
Subiri kidogo nimalizie mkuu
IMG-20190828-WA0020.jpeg
 

Sijui kwa nini tunakinzana
Akati najua tunapendana
Hatua zetu zinapishana
Kwenye safari yetu ya mapenzi

Si ulisema mwenyewe nisipige simu wala kutuma meseji
Na ukasema kwamba hupendi kuniona unaweza tokwa machozi
Tukigombana tunaelewana mwisho tunapuuzia
Hili limekaa haifai kunyamaziwa
Tukigombana tunaelewana mwisho tunapuuzia
Hili limekaa haifai kunyamaziwa
 
Back
Top Bottom