huyu_hapa
JF-Expert Member
- Oct 30, 2016
- 539
- 760
Bado ndo kwanza saa 12Hivi kumbe saa sita imefika!
Bado ndo kwanza saa 12Hivi kumbe saa sita imefika!
KwemaKwema mkuu
Oops! Nilijua saa 3 asubuhiBado ndo kwanza saa 12
Walinzi mpoo
























Naona wiki hii yote uko zamuLindoooooooooooooooooooooo


Bila shaka ushaandaa chai...nakuja kunywa mamitohOops! Nilijua saa 3 asubuhi
Una silaha lakini? Isijekuwa unalinda na kijirungu tuon duty lindoni

Silaha begani, tochi mkononiUna silaha lakini? Isijekuwa unalinda na kijirungu tu![]()
Subiri kidogo nimalizie mkuu08:12,Nichomoe betri?
Sijui kwa nini tunakinzana
Akati najua tunapendana
Hatua zetu zinapishana
Kwenye safari yetu ya mapenzi
Si ulisema mwenyewe nisipige simu wala kutuma meseji
Na ukasema kwamba hupendi kuniona unaweza tokwa machozi
Tukigombana tunaelewana mwisho tunapuuzia
Hili limekaa haifai kunyamaziwa
Tukigombana tunaelewana mwisho tunapuuzia
Hili limekaa haifai kunyamaziwa
![]()

Naona mmenisusia nyote ningefanyeje sas kama sio kukubali zamu tuNaona wiki hii yote uko zamu
Hivi wiki ijayo ni zamu ya nani vile?![]()