JamiiForums Usiku wa manane
Ivi kama una hela kuna haja ya kuoa..

However you may not start conversation with the following recipient;Tairus
No need,siunajua dem ni gharama lazima umpeleke salon ,umake sure una mtreat during special occasions kama valentines etc,na pia kusema ukweli siku hizi wanawake wanapenda pesa sana,hakuna mapenzi ka ya old days,siku hizi mapenzi ni pesa haha ukiwa na pesa utasifiwa kitambi honey i love you
 
Hili lindo la leo sijui km nitalimaliza salama
IMG-20190325-WA0012.jpeg
 
No need,siunajua dem ni gharama lazima umpeleke salon ,umake sure una mtreat during special occasions kama valentines etc,na pia kusema ukweli siku hizi wanawake wanapenda pesa sana,hakuna mapenzi ka ya old days,siku hizi mapenzi ni pesa haha ukiwa na pesa utasifiwa kitambi honey i love you
wakatembee na mabank basi ijulikane moja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom