Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,410
- 119,115
Huu muda wa lindo ndio wa kujiachia, mabosi hawapo, wale wafanya usafi waliojipa cheo cha uripota wamelala makwao unataka nafasi gani tenaSi unajua matapishi haya zoleki bibie.
Sikia,nitakutafuta.
Huu muda wa lindo ndio wa kujiachia, mabosi hawapo, wale wafanya usafi waliojipa cheo cha uripota wamelala makwao unataka nafasi gani tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu muda wa lindo ndio wa kujiachia, mabosi hawapo, wale wafanya usafi waliojipa cheo cha uripota wamelala makwao unataka nafasi gani tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Watakuwa na yao hao wa kwenye konaWatu wamejificha kwenye kona,wanasubiri uteleze tu.
Unamaanisha umefungwa? Si naupiga teke nazama ndaniHahaha,ukubwa si hoja.
Hivi utafanyaje ikatokea unakimbizwa na mnyama mkali,halafu mbele yako unakuta nyumba na ndio hiyo hiyo nyumba unahisi usalama wako upo. Lakini ajabu unafungua mlango umengwa. Utajisikiaje ?
Hahaha basi itabidi niombe tu Mungu aliyeko ndani afungue kabla simba hajaniraruaUmeshapiga teke na teke tena lakini wapi. Je unafikiriaje kama ungekuwa wazi ? Bila shaka yule mwenye shida ungekuwa umemsaidia pa kubwa sana....!
Najua umeelewa nini maanisha na wewe ni mtu mzima na una kifua pia.
Hahahaha,ukorofi huo
MTC | 101|
Hahaha basi itabidi niombe tu Mungu aliyeko ndani afungue kabla simba hajanirarua
Sent using Jamii Forums mobile app
Umepona lakini?napita... nawapa 5
nani yupo macho nimsimulie hadithit?
aah wapi ila sio kama jana lknUmepona lakini?