Umeshapiga teke na teke tena lakini wapi. Je unafikiriaje kama ungekuwa wazi ? Bila shaka yule mwenye shida ungekuwa umemsaidia pa kubwa sana....!

Najua umeelewa nini maanisha na wewe ni mtu mzima na una kifua pia.
Hahaha basi itabidi niombe tu Mungu aliyeko ndani afungue kabla simba hajanirarua

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom