Mwanyasi
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,955
- 7,111
Hapana!
Sijui.....
Sijui.....
Ha haa nimeshatinga aised!
Naona ulinzi upo kamili
Nipo fresh! Mbona unataka kutukimbia mapemaYes..super good
Vipi wewe
!!!!!...mwenyewe nasepa..Poa nakuachia silaha zangu za kazi nitakuja kuzichukua kwako......
Utampa na silaha zangu hizi hapa.....!!!!!!...mwenyewe nasepa..
Labda umuachie don
Mdudu usingizi kanikamata mbayaNipo fresh! Mbona unataka kutukimbia mapema
Unatoroka ujue..utanipa msala Mimi..nitajulikana nimekutoroshaUtampa na silaha zangu hizi hapa.....!
Poa ngoja tusepe wote kesho pia ni sikuMdudu usingizi kanikamata mbaya
Hapana nasema hivi,viongozi eeh,huyu bibie hajanitorosha naondoka mwenyewe nina dharura za kisheria.Unatoroka ujue..utanipa msala Mimi..nitajulikana nimekutorosha
Poa ngoja tusepe wote kesho pia ni siku
Mfikishie thad salam zangu mwambie nyumbani kumenogaEwaaa...
Usiogope!
Kuwajibika muhimu.
Oooh,naondoka nae mimi bro ? Wewe sepa kimya kimya kama vipi.Poa ngoja tusepe wote kesho pia ni siku
Usingizi hauna adabuNawewe wasepa?? Baki Baki bana uwape kampani kina dionize
Mimi nimeshakabidhi muda sana..namsubiri Thad aniletee koti languHapana nasema hivi,viongozi eeh,huyu bibie hajanitorosha naondoka mwenyewe nina dharura za kisheria.
Ondoa shaka,bila shaka wamesikia au nikusubiri,ukakabidhi silaha hizo fasta tuyeye ?
Kila la kheri. Achague mwenyeweOooh,naondoka nae mimi bro ? Wewe sepa kimya kimya kama vipi.
Wewe huoni nimeanza kulia lia kitambo bro ?
Kwahiyo niondoke sio ? Ina maana umepitia njia gani ?Mimi nimeshakabidhi muda sana..namsubiri Thad aniletee koti langu
Sawa bana tutaona kesho mkuuUsingizi hauna adabu