Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,440
Mtoto sijapata taarifa yake kabisa naona wamepotea wote leo..
dereva umeenda kuchimba dawa au? mbona hatukuoni?Ulikuwa wapi sijui siti za dirishani zote wamewahi...leo dereva mwenyewe nimerudi.
Hahaha naona mida mida watakuja,,, jana ukamkimbia,,, atakuwa alimindMtoto sijapata taarifa yake kabisa naona wamepotea wote leo..
Atakuja nimashamwambia kasema anamaliziaa..Hahaha naona mida mida watakuja,,, jana ukamkimbia,,, atakuwa alimind
Sent using Jamii Forums mobile app
Juzi (jmos) nililala msibani nikatoka saa 9 usiku,saa 2 ikatikiwa niwe nishafika kanisani, baada ya kutoka kanisani saa 9 tukaenda kutandua msiba. Kwahiyo jana usiku nilikua nina usingiz wa hatariii ndio maana nilipitiwa bila kuaga..Hahaha naona mida mida watakuja,,, jana ukamkimbia,,, atakuwa alimind
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha itapendeza sanaAtakuja nimashamwambia kasema anamaliziaa..
Abeee
Aisee,, pole sana chief, ndio ukubwa huoJuzi (jmos) nililala msibani nikatoka saa 9 usiku,saa 2 ikatikiwa niwe nishafika kanisani, baada ya kutoka kanisani saa 9 tukaenda kutandua msiba. Kwahiyo jana usiku nilikua nina usingiz wa hatariii ndio maana nilipitiwa bila kuaga..
kwema chief...habari!MR.MILLER, NAKUONA UNANIPA SALAMU YA MBALI KWEMA HUKO LAKINI...
Naaam ndio uanaume.
Nimekuhamuu bbadeAbeee
mimi mzma hofu kwako kipenziNipo...hujambo ?