Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,560
Tupo! Alafu una kesi ya kujibuYaan huku naona watu wapya wapya tu ikabid nipite tu..miss u moree
Mbona siwaoni etiiTupo! Alafu una kesi ya kujibu
Haujanitonya kwamba mumu ameniletea ma ankoKesi ipi tena![]()
![]()
Wenyeji mmekimbia mmewaacha wageniYaan huku naona watu wapya wapya tu ikabid nipite tu..miss u moree
2009 mzaaziNi ya mwaka gan
Hata sina ukorofi mieWee mkorofiii
Where is Kichwa kichafu na nleterewaHata sina ukorofi mie
![]()
![]()
![]()
anazingua huyooo
nilijua tu, alikua anatania.Sasa mbona ukanibebesha kesi?nilijua tu, alikua anatania.
We binadamu upoo??!Napita tu jmn kwenda kutafta ucngiz
Hawa jamaa ni hatari. Kuna hii how to be a latin lover naikubali sana. Ni comedyWenye kupenda kucheka kama mimi fatilieni muvi za leon Schuster mtacheka mpaka mbavu ziume..
Mad Buddies is a 2012 South African comedy film directed by Gray Hofmeyr, co-written by Gray Hofmeyr and Leon Schuster and starring Leon Schuster, Kenneth Nkosi, Tanit Phoenix and Alfred Ntombela.
Mad Buddies![]()
Wako busy wanapalilia ndoa zaoWhere is Kichwa kichafu na nleterewa