JamiiForums Usiku wa manane
687272cfb1a08c98924a8ec2dd446107.jpg


Haya mambo yananikosesha usingizi
 
Hii inanikumbusha nilipokuwa form 1 tulikuwa twashindana kupiga msuli...Yaani mtu bora aumwe na mbu na asinzie kwenye deski hali ya kuwa haingizi chochote kichwani kuliko kumwacha mshindani wake anakamua...eti atampiga magepu!
shule gani?
 
Loneliness....
How to kill it!!?
Beauties pls advise... (pm)
Thank You!
 
Back
Top Bottom