shumbwela5775
Member
- Jun 18, 2017
- 31
- 14
Cdhani kama kuna yeyote aliyeko macho sahv
Cdhani kama kuna yeyote aliyeko macho sahv
NipoCdhani kama kuna yeyote aliyeko macho sahv

Dah..... Hawana spare?Wengine wenza wao wamesafiri!
Baba kanikataza pm
Kasema ulete mahari kwanza. Teh tehAiseee...
Naona baba anakusudia kuninyima Mke.![]()
![]()
Niko tayari kwa hilo.Kasema ulete mahari kwanza. Teh teh
Hiyo lugha hapo mwisho umenichanganya. Maana yake?Niko tayari kwa hilo.
Mwagona vihi?!
Salama kabisa mydear. Lugha ya wapi hiyo? Kisukuma?Umeamshwa salama?
![]()
![]()
Hicho ni kizigua..Salama kabisa mydear. Lugha ya wapi hiyo? Kisukuma?
Nipo nimejaa teleHicho ni kizigua..
Ulipotelea wapi?
Kumbee!Nipo nimejaa tele